Drawer trigger

Amali za Makka

Amali za Makka

Amali za Makka

Mchapishaji :

AL-ITRAH FOUNDATION

Mwaka wa uchapishaji :

2014

Eneo la uchapishaji :

Tanzania Dar es salaam

(0 Kura)

QRCode

(0 Kura)

Amali za Makka

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu kiitwacho Adabu ‘l-Haramain kilichoandikwa na Sayyid Jawad al-Husaini Aali Ali ash-Shahrudi. Sisi tumekiita, Amali za Makka. Kitabu hiki kinaelezea mambo ya kuzingatiwa kuanzia wakati mtu anapoanza safari kwa ajili ya kuhiji na kufanya ziara (ziyara) katika mji mtukufu wa Makka (yaani adabu za ziara)