Hadith Al-Thaqalayn
Hadith Al-Thaqalayn
Mwandishi :
Mchapishaji :
Mwaka wa uchapishaji :
2012
Eneo la uchapishaji :
MOMBASA (KENYA)
(0 Kura)
(0 Kura)
Hadith Al-Thaqalayn
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Bwana waviumbe vyote; na swala nasalamu zimshukie Muhammad, Mtume Wake, pamoja na aali zake, na wote wenye kuwaandamawao hadi Sikuya Malipo. Kiasi chamiaka miwili mitatu iliyopitanilipata khabari kuwa kumezuka “kijana mmoja wa Kiibadhi anawashambulia sana mashia katika intaneti, na anaikataa Hadith Thaqalayn” na kwamba “baadhiya vijana wa Kishia wameanza kujibizana naye,”