MAANA NA CHANZO CHA USHIA
MAANA NA CHANZO CHA USHIA
Mwandishi :
Mtarjum :
Mchapishaji :
Mwaka wa uchapishaji :
20044
Idadi ya juzuu :
2000
Chapisha nambari :
Toleo la Nane
Eneo la uchapishaji :
Dar es Salaam, Tanzania
(0 Kura)
(0 Kura)
MAANA NA CHANZO CHA USHIA
Neno Shia )الشیعة(limetokana na neno la Kiarabu at-tashayyu )التشیع(lenye maana ya kufuata. Kulingana na al-Qamusna Lisanu ’l-‘Arab, marafiki na wafuasi wa mtu wanaitwa Shia wake. Kulingana na Taju ’l-‘urus, kikundi cha watu wanoafikiana juu ya jambo (lolote) wanaweza kuitwa Shia. Neno hili hutumika sawa sawa kwa umoja na wingi, vile vile hutumika sawa sawa kwa wanaume na wanawake.