dalili_za_kiama

dalili_za_kiama

dalili_za_kiama

Author :

HARUN YAHYA

(0 Kura)

QRCode

(0 Kura)

dalili_za_kiama

Dalili za Kiyama Katika kipindi chote cha historia ya ulimwengu Wanaadamu wameuelewa ukubwa wa milima na upana wake, na ukubwa wa mbingu kutokana na njia zao mbali mbali za uchunguzi ijapokuwa wamekuwa na fikra potofu kuwa maumbile haya yatadumu milele. Imani hii ndio iliyozaa falsafa za kishirikina na za kilahidi za Ugiriki na dini za Sumeria za Misri ya kale. Qur'an inatuambia kuwa wale wanaoamini hivi wapo katika hatia kubwa. Miongoni mwa vitu ambavyo Mwenyezi Mungu amevibainisha katika Qur'an ni kuwa Ulimwengu umeumbwa na kwamba utakuwa na mwisho wake. Ulimwengu, kama walivyo binadamu na viumbe vingine hai, utatoweka.