ANAYENGOJEWA IMAMU MUHAMMAD AL-MAHDI (a)

ANAYENGOJEWA IMAMU MUHAMMAD AL-MAHDI (a)

ANAYENGOJEWA IMAMU MUHAMMAD AL-MAHDI (a)

Publication year :

2003

Publish number :

Chapa ya Nne

Publish location :

Dar es Salaam, Tanzania

Number of volumes :

1

(0 Kura)

QRCode

(0 Kura)

ANAYENGOJEWA IMAMU MUHAMMAD AL-MAHDI (a)

Imam Muhammad al-Mahdi (a), Imamu wa Kumi na Mbili katika Uislamu wa Shia Kumi na Mbili, anachukuliwa na Waislamu wa Shia kuwa yu hai na yuko katika ghaiba, kumaanisha kuwa amefichwa machoni pa watu lakini bado anawaongoza wanadamu. Anaaminika kuwa ni Mahdi aliyetabiriwa, ambaye atarudi mwisho wa wakati ili kuleta amani na haki duniani.Kitabu hiki ni cha mwisho katika mfalulizo wetu huu wa maisha ya Watakatifu  Kumi na Wanne wa jamii ya Mtukufu Mtume (s.a.w.), nacho kinahusu maisha ya Imamu wa Kumii na Mbili. Watu ambao ni  vigumu  sana  kuwaelewa  tuzionapo  habari  zao  na  hata tunapoonana  nao  jicho  kwa  jicho,  hakika  itakuwa  vigumu  zaidi kuwaelewa wanapokuwa hatuwaoni. Kitabu  hiki  hakikukusudiwa  kwa  wale  wasioyaamini  yale yasiyoonekana  bali  kwa  wale  wanaomwamini  Mwenyezi  Mungu Asiyeonekana.