MWANGA WA ELIMU IMAMU MUHAMMAD BAQIR (A.S.)

MWANGA WA ELIMU  IMAMU MUHAMMAD BAQIR (A.S.)

MWANGA WA ELIMU IMAMU MUHAMMAD BAQIR (A.S.)

Publication year :

2007

Number of volumes :

1000

Publish number :

Toleo la Pili

Publish location :

Dar es Salaam - Tanzania

(0 Kura)

QRCode

(0 Kura)

MWANGA WA ELIMU IMAMU MUHAMMAD BAQIR (A.S.)

Kitabu hiki kiliandikwa kwa lugha ya Urdu na Mtukufu Saiyadul Ulama Maulana Sayyid Ali Naqi Saheb, Mujtahid wa Chuo Kikuu cha Lucknow, Uhindi. Kimetafisirwa kwa lugha ya Kiingereza na Sayyid Hashim Raza Rizvi, B.A., B.T., Yadgar-e-Husaini, H.S., Allahabad, Uhindi, na kutolewa na Imamia Mission, Lucknow, U.P., Uhindi. Kimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kutoka hiyo tafsiri ya Kiingereza na Marehemu Bwana L.W. Hamisi Kitumboy (aliyekuwa Muballighi Mkaguzi wetu) na kikachekiwa na kusahihishwa na Mwalimu Dhikiri (Zakir Ali) U.M. Kiondo, Edita wa "Sauti ya Bilal".