SHUJAA BAADA YA KARBALA IMAMU ALI ZAINUL-ABIDINI( A.S.)

SHUJAA BAADA YA KARBALA IMAMU ALI ZAINUL-ABIDINI( A.S.)

SHUJAA BAADA YA KARBALA IMAMU ALI ZAINUL-ABIDINI( A.S.)

Publication year :

2008

Number of volumes :

1000

Publish number :

Toleo la Tatu

Publish location :

Dar es Salaam - Tanzania

(0 Kura)

QRCode

(0 Kura)

SHUJAA BAADA YA KARBALA IMAMU ALI ZAINUL-ABIDINI( A.S.)

Kitabu hiki kiliandikwa kwa lugha ya Urdu na Mtukufu Saiyadul Ulama Maulana Sayyid Ali Naqi Saheb, Mujtahid wa Chuo Kikuu cha Lucknow, Uhindi. Kimetafisirwa kwa lugha ya Kiingereza na Sayyid Hashim Raza Rizvi, B.A., B.T., Yadgar-e-Husaini, H.S., Allahabad, Uhindi, na kutolewa na Imamia Mission, Lucknow, U.P., Uhindi. Kimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahiii kutoka hiyo tafsiri ya Kiingereza na Marehemu Bwana L.W. Hamisi Kitumboy (aliyekuwa Muballighi Mkaguzi wetu) na kikachekiwa na kusahihishwa na Mwalimu Dhikiri (Zakir Ali) U.M. Kiondo, Edita wa "Sauti ya Bilal".